SOMA>> Maswali aliyoyajibu Diamond Platinumz kwenye ukurasa wa Facebook wa 'Coke Studio Africa' alipoalikwa kuchati na Mashabiki wake
Kuna wakati unapoalikwa sehemu kuongea au ku chati na mashabiki wako
basi ni lazima uwe umejipanga kwa kila swali utakaloulizwa na kulijibu
ipasavyo ili shabiki ajisikie furaha.
Naseeb Abdul aka Diamond Platinumz hivi karibuni alipewa masaa kadhaa ya
kuchati na mashabiki wake kupitia ukurasa wa facebook wa Coke Studio
Africa.
Miongoni mwa maswali aliyoyajibu ni kuhusiana na Video ya remix ya My
Number One,Mipango ya Ndoa,Msanii gani wa nje anayemkubali,Je
atawasaidiaje wasanii wachanga kwenye soko la Muziki na mengine.
Haya ndio maswali aliyokuwa akiyajibu Diamond Platinum kwa mashabiki yake
1Haruna Kihiyo:How about video of ukimwona
Diamond Platnumz:Nafikiria kuifanya sana kwa vile watu wameipenda sana.
2.Davril Darma:una mpango wa kuoa kaka?utarudiana na kumuoa mpenzi wako wa kuanza Wema maana ndiye aliyekupenda hata kabla ya mafanikio mengi?
Diamond Platnumz:Sina mipango ya ndoa bado #AskDiamondTz
3.Jackson Optaty Unamkubali msanii gani wa nje?
Diamond Platnumz:Usher Raymond
4Mfalme Wa Mwisho:Video ya my number one remix tutegemee lini na je una kundi la wasanii wachanga unaowalea under WCB? #cokestudioafrica
Diamond Platnumz:Subiri tu ...linakuja hivi karibuni. Tunafanya marekebisho kwenye video kisha itatokea hivi karibuni.
5. Jose Fly Joseph:Diamond me ni shabiki wako mkubwa xana bt heb niambie je unampango wowte wa kufanya ngoma yoyte na akina akon, jamaa ze2 wakarbu kina p square il uutangaze zaid mzk we2 kimataifa!
Diamond Platnumz Hivi karibuni.
6. Davril Darma #AskDiamondTz#CokeStudioAfrica.una mpango wa kuoa kaka?utarudiana na kumuoa mpenzi wako wa kuanza Wema maana ndiye aliyekupenda hata kabla ya mafanikio mengi?
Diamond:Sina mipango ya ndoa bado
7.Crown Prince Eric: What are you doing to help society even a little pal?
Diamond: I am starting a studio which will help upcoming artists and those who want to venture into music.”
1Haruna Kihiyo:How about video of ukimwona
Diamond Platnumz:Nafikiria kuifanya sana kwa vile watu wameipenda sana.
2.Davril Darma:una mpango wa kuoa kaka?utarudiana na kumuoa mpenzi wako wa kuanza Wema maana ndiye aliyekupenda hata kabla ya mafanikio mengi?
Diamond Platnumz:Sina mipango ya ndoa bado #AskDiamondTz
3.Jackson Optaty Unamkubali msanii gani wa nje?
Diamond Platnumz:Usher Raymond
4Mfalme Wa Mwisho:Video ya my number one remix tutegemee lini na je una kundi la wasanii wachanga unaowalea under WCB? #cokestudioafrica
Diamond Platnumz:Subiri tu ...linakuja hivi karibuni. Tunafanya marekebisho kwenye video kisha itatokea hivi karibuni.
5. Jose Fly Joseph:Diamond me ni shabiki wako mkubwa xana bt heb niambie je unampango wowte wa kufanya ngoma yoyte na akina akon, jamaa ze2 wakarbu kina p square il uutangaze zaid mzk we2 kimataifa!
Diamond Platnumz Hivi karibuni.
6. Davril Darma #AskDiamondTz#CokeStudioAfrica.una mpango wa kuoa kaka?utarudiana na kumuoa mpenzi wako wa kuanza Wema maana ndiye aliyekupenda hata kabla ya mafanikio mengi?
Diamond:Sina mipango ya ndoa bado
7.Crown Prince Eric: What are you doing to help society even a little pal?
Diamond: I am starting a studio which will help upcoming artists and those who want to venture into music.”
0 comments:
Post a Comment