Nahreel kufungua studio yake itakayokuwa na label ya kusimamia wasanii












Msanii wa muziki wa kundi la Navy Kenzo na mtayarishaji wa muziki, Nahreel amesema anatarajia kufungua studio pamoja na label ili kusaidia wasanii wachanga. Nahreel ambaye anafanyia kazi zake ‘Home Town Records’ amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa muda umefika wa kumiliki studio na record label. “Ukitaka kumuandaa msanii kama msanii lazima ukue […]

Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment