Video: Mama wa Wema Sepetu awajia juu wanaomtusi Mitandaoni

at DJ Fetty

Mama mzazi wa muigizaji Wema Sepetu, amewajia juu watu wanaomtusi kupitia mitandao ya jamii hasa wale wanaojulikana kama team fulani, akitaja kwa majina "TeamDengue" baada ya kudhalilishwa kwa kuchorwa akiwa uchi na kusambazwa mitaandaoni Akizumgumza katika birthday ya mtoto wake iliyofanyika siku ya jumapili, alianza kwa kuwashikuru wale wote waliohudhuria party hiyo n akuwaomba kuendelea kumpenda Wema licha ya kuwa anatukanwa na kudhalilishwa "Anaeanza nyie mnamaliza, isipokuwa msitukane, naomba kama mnaupendo muendelee na upendo, mmeonyesha kama mnampenda Wema, Wema anatukanwa, W...
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment