Australia wachora hii picha kubwa mtaani ikimuonyesha Kanye West akijipiga busu mwenyewe mdomoni




 Mchoraji wa nchini Australia, Scott Marsh, ndiye anahusika na mchoro huu mkubwa wa Kanye West akimfanya ajipige mabusu mdomoni yeye mwenyewe.

Kwenye album yake The Life of Pablo, ambayo ni album ya mwisho kutolewa na rapper Kanye West mwezi February, Kanye ali record mistary ya freestyle aliyoipa jina la "I Love Kanye". Basi imeleta utata huo wa kusababisha ajipe mapenzi mwenyewe.




 post-feature-image

 Mwaka 2015 picha moja ya Kanye West akimpiga busu mke wake, Kim Kardshian, ilifanyiwa utengenezwaji na kutolewa kichwa cha Kim kisha wakaweka kichwa cha Kanye West kwenye mwili wa Kim nakuonekana rapper huyo akijipiga busu mwenyewe mdomoni.

 



Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment