(Video) Tazama Wema Sepetu alivyoanzisha mtiti katika Ofisi za Global Publishers

Wema afanya ziara ya ghafla katika Ofisi za Global Publishers pande za Bamaga, Fanya kama unatizama hii video na utaelewa mchezo mzima. Nanukuu walichoandika Global Publishers kuwenye Channel yao ya Youtube " HOVYOOO! Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. "
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment