Dudu Baya amkata sikio mama yake mkubwa akidai ni mchawi, anatafutwa na polisi

Yasin Ngitu at - Rapper mkongwe, Godfrey Tumaini aka Dudu Baya ameingia kwenye orodha ya wahalifu wanaotafutwa na jeshi la polisi jijini Mwanza baada ya kumkata mama yake mkubwa sikio akidai ni mchawi. Akizungumza na ‘You Heard’ ya Clouds FM jana mdogo wake wa tumbo moja na Dudu Baya, Mueta amesema juzi majira ya saa nne asubuhi jijini Mwanza […]


http://www.bongocinema.com/images/casts/dudubaya3.jpg
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment