Video: Hiki ndio kinachowallipa wasanii wa Nigeria (Djfetty interview na M.I kutoka Nigeria)

FROM djfatty at DJ Fetty - 14 hours ago

Baada ya kufika Nchini Nigeria katika uzinduzi wa wimbo wa One Campagn "Cocoa na Chocolate" nilipata nafasi ya kukutana na wasanii mbali mbali akiwemo msanii mkubwa wa Hiphop anaeitwa M.I na hiki ndicho alichokizungumza kuhusu kinachowalipa wasanii wa huko. its more about music industry and social issues in and out of bongo land
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment