Ni Ngoma ambayo imefanya katika Studio za The Industry Chini ya Producer Ambae ametengeneza Hits kibao kama vile; Zigo remix ya AY na Diamond , Don't Bother ya Joh makin na nyingine nyingi hapa namzungumzia Nahreel Kaa Tayari kuipakua kupitia blog yetu ya Cs Media Group
Vanessa Mdee Kuachia Ngoma mpya "Niroge" Alhamis hii
Ni Muondoka wa kitu baada ya kitu wengi wanapenda kumuita V money au Vanessa Mdee kama wengi wanavyo mfahamu baada ya kufanya vizuri na ngoma yake ya "Never Ever" ambayo ilikuwa gumzo mjini sasa Alhamis hii atatambulisha ngoma yake mpya.

Ni Ngoma ambayo imefanya katika Studio za The Industry Chini ya Producer Ambae ametengeneza Hits kibao kama vile; Zigo remix ya AY na Diamond , Don't Bother ya Joh makin na nyingine nyingi hapa namzungumzia Nahreel Kaa Tayari kuipakua kupitia blog yetu ya Cs Media Group
Ni Ngoma ambayo imefanya katika Studio za The Industry Chini ya Producer Ambae ametengeneza Hits kibao kama vile; Zigo remix ya AY na Diamond , Don't Bother ya Joh makin na nyingine nyingi hapa namzungumzia Nahreel Kaa Tayari kuipakua kupitia blog yetu ya Cs Media Group
0 comments:
Post a Comment