Tazam picha za Diamond, Mama yake, Zari na Tiffah wakila bata nchini Sweden #FromTandaleToTheWorldTour

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Bongo fleva,Diamond Platnumz, Baada ya kumaliza tour za hapa nchini kuusambaza wimbo wa Kwetu aliouimba msanii mpya katika label ya Wasafi ameamua kuichukua familia yake akiwemo Mama yake mzazi, Zari na Tiffah ambaye ni mtoto wake pamoja na member wengine wa Wasafi akufanya tour ulimwenguni waliyo iita #FromTandaleToTheWorldTour.
 
Diamond akiwa na Romy 




















Diamond Akiwa na mama yake Bi Sandra



 
Diamond, Zari na mtoto wao Tiffah


Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment