DOGO JANJA: NI MARA YA YANGU YA KWANZA KUDONDOKA SOUTH SO AMBAO BADO HAMJATOBOA KIMZIKI KAZENI

    Dongo janja ambae kwa sasa yuko chini ya usimamizi wa Mtanashati Entertainment na Ostz Juma na musoma, ameshadondoka nchini Africa ya kusini kwa ajili ya kuanza kazi moja tu ambayo imempeleka huko, ikiwa ni makamuzi kwa kwenda mbele, na akisisitiza kuwa show yake ya kwanza itafanyika ndani ya cape town. janjaro anaonekana kwenye picha kupokelewa vizuri na mashabiki wake na watanzania...Read More
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment